Keshokutwa Jumatano Aprili Mosi 2026, Ligi Kuu Bara inatarajiwa kuendelea ambapo kwa mwezi huo pekee hadi unakamilika, kuna kitu kinaweza kuamuliwa kwa baadhi ya timu zinazoshiriki ligi hiyo. Hadi lig ...
APRILI 3 Ligi Kuu ya Wanawake Bara itarejea ikiwa ni mzunguko wa pili kufuatia mapumziko ya mwezi wa kalenda ya Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) kwenye mashindano ya WAFCON na Kombe la Dunia ...
KOCHA Mkuu wa timu ya kikapu kwa wanawake ya Orkeeswa kutoka Arusha, Benjamin John amesema ushiriki wao katika mashindano ya Asma Mwinyi Next Generation ni sehemu ya maandalizi ya kikosi ...
MENEJA Mkuu wa Shirika la Umeme Zanzibar, Haji Haji, amesema Serikali ina mpango wa kujenga laini maalumu kutoka Mtoni hadi Mji wa Afcon (Afcon City) uliopo Fumba ili kuondosha changamoto ...
WIKI iliyopita ilikuwa ya maumivu makubwa kwa mashabiki wa Liverpool baada ya supasta wa kikosi hicho, Mohamed Salah kutangaza kuwa ataondoka ifikapo mwisho wa msimu.
BAADA ya kusajiliwa na Riga FC ya Latvia, kiungo mshambuliaji Abdu Mandeke amesema malengo yake yametimia kutua barani Ulaya, lakini anatamani kucheza na kuonyesha kiwango bora ili ...
KOCHA wa Azam FC, Florent Ibenge ametua nchini na kuanza na rekodi ya aina yake akiwa hajapoteza mechi ndani ya dakika 90 dhidi ya timu zilizomaliza ndani ya tano bora msimu uliopita, huku akisema kaz ...
MSHAMBULIAJI Mtanzania Said Khamis Said Jr anayekipiga katika timu ya Imigresen ya Ligi Kuu Malaysia ameamua kupigania kiatu cha dhahabu katika mashindano hayo akimkimbiza polepole ...
Kwa mwezi Aprili, Simba itacheza mechi sita ambazo ikikamilisha kabla ya kukutana na Yanga, zitalingana michezo, hivyo kuchanga kwao karata vizuri kutawafanya kuingia Dabi ya Kariakoo wakiwa juu ya ...
KIWANGO kizuri kinachoonyeshwa msimu huu na kiungo mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’, kimemfanya kuwapiga bao nyota mbalimbali wakiwemo Pacome Zouzoua wa Yanga na mwamba wa Lusaka, Clat ...
APRILI 3 Ligi Kuu ya Wanawake Bara itarejea ikiwa ni mzunguko wa pili kufuatia mapumziko ya mwezi wa kalenda ya Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) kwenye mashindano ya WAFCON na Kombe la Dunia ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results